Pages

Friday 27 September 2013

kipindi cha Wema kuanza kuruka hewani kwenye kituo cha TV cha EATV

Kile kipindi cha Reality Show ya maisha ya mwigizaji Wema wepetu ambacho hapo mwanzo kilipangwa kuanza kuoneshwa na kituo cha TV cha Clouds cha jijini Dar es salaam, sasa kitaanza kuonekana kwenye kituo cha EATV kuanzia mapema mwezi ujao.
Kwa mujibu wa taarifa za mtandao toka kwenye kituo hicho cha TV ambazo hazijaelezea sababu hasa za kipindi hicho kuamia kwenye luninga hiyo zinasema kuwa, fans wa mwanadada hyuo wake tayari kwa ajili ya show hiyo ya kwanza na aina yake bongo.

TOA MAONI YAKO HAPA:

0 comments:

Post a Comment