Pages

Sunday 1 December 2013

ANGALIA PICHA ZA T.SHIRT NINAZOUZA NI ZA KIUME #BOMOA BOMOA:

#TeamBomoa Bomoa Kwa wale walio tayar kusupport Haraka za #mwanamke piga simu namba 0718109106, utaongea moja ka moja na muhusika wa T.SHIRT ili tuone unaipaje: ni elfu 20 zA Kitanzania kwa t.shirt moja> kwa jumla inapungua Bei>
 
Angalia Disgn nyengine za T.sirt zangu hapa chini click read more

Thursday 21 November 2013

PICHA INTERVIEW HITS FM RADIO KWA AJILI YAKO ZICHEKI HAPA;

Baada ya kupata Interview mbali mbali za simu, juzi kati, nilipata mualiko tena kwenye radio nyengine Hits Fm kutoka kwa Mtangazaji wa kipindi cha Bongo Zone 2Point, Hizi picha nilikua kwenye Interview Katika Radio ya '#Hits_fM zAnzibar, And here are some of my picture take a look, nawapenda sana:
Endelea kuziangalia hapa chini picha zingine nyingi tuu Mtu wangu wa nguvu:

Saturday 9 November 2013

PICHA WAKATI NIPO BOMBA FM RADIO LEO ZICHEKI HAPA;


GURU G LOVER & ME
 Baada ya kutoka Ziara ndefu ya kimuziki nchi za Uarabu, nimerudi nyumbani Zanzibar salama nashkur, pia naskur kwa wale wote ambao mlikua mkiniombea usiku na mchana nirudi salama, leo nilikua kwenye Interview Katika Radio ya bOMBA fM zAnzibar, And here are some of my picture take a look, nawapenda sana:
Endelea kuziangalia hapa chini picha kibao Mtu wangu wa nguvu:

Saturday 2 November 2013

VIDEO YA BERRY BLACK FT ALI KIBA HII HAPA:

Asante my brother Berry Black wewe kweli ni mfalme wa Zanzibar, Nice video, nice location, nice audio and new look, you did it my bro:
check this Video by Berry Black ft Ali Kiba - Ishara Zangu
TOA MAONI YAKO HAPA:

Saturday 12 October 2013

VIDEO YA KIMUGINA YA LINEX KUZINDULIWA WEEK IJAYO:

Mwimbaji nyota wa Bongo fleva,Linex ametangaza kukamilika kwa video ya wimbo wake mpya wa Kimugina.
video hiyo ilitengenezwa chini ya director Adam juma wa visual lab.
na mwanadada atakayeonekana ndani ya video hiyo ni mrembo Jck cliff aliyewahi tesa kwenye video ya Ngwair,she got gwan na nataka kulewa ya Diamond.
Video inatarajiwa kuzinduliwa week ijayo kwenye ukumbi wa Amassadors lounge jijin Dar es salaam.
akisindikizwa na Chid benz,Recho,Amin na Barnaba pamoja na Stara Thomas.
creadit teamTZ
TOA MAONI YAKO HAPA:

WAKAAZI:VIDEO YA TOUCH IKO TAYARI THE VIDEO IS NICE:

Rapper mwenye uwezo mkubwa wa kutumia lugha mbili ‘bilingual’ Webiro N. Wasira maarufu kama Wakazi amesema video ya wimbo wake ‘Touch’ iko tayari na anajiandaa kuiachia ili watu waweze kuiona akianza na watu wake wa karibu na wadau wa media.
Wakazi amefunguka katika kipindi cha ‘The Chat’ cha 100.5 Timesfm kinachoendeshwa na Ezden Jumanne a.k.a Ezden The Rocker jumamosi saa nne kamili asubuhi hadi sita kamili mchana.
“Ebana video ya Touch iko tayari na maandalilzi yako fresh, editing na kila kitu kimeshafanyika so kilichobaki hapa sasa hivi naandaa just like planning kuhakikisha kwamba nairelease proper watu waweze kuiona ili. Mostly watakuwa watu wa media, watu wa radio, television, watu wa newspapers na blogers na watu wengine wa karibu waweze kuiangalia halafu baada ya hapo tutaiweka online and then tutaipeka kwenye different media as well,  kuhakikisha tunai-premier huko pia.”
Wakazi ameielezea kwa ufupi video yake kuwa ni video nzuri na kwamba kazi waliyoifanya ni kubwa na kwamba hatawaangusha fans wake. “ The video is nice and I’m happy kwa sababu tulifanya kazi ya ziada and the song is doing well and shout out to Timesfm kupitia ‘The Chat’, na watu wote wanaousikiliza wimbo na kuupenda pia.
(picha/habari Timesfm)
TOA MAONI YAKO HAPA:

Thursday 10 October 2013

(NEW VIDEO ZANZIBAR)NASSIR VANILLA - SI UTULIE



TOA MAONI YAKO HAPA:

Exclusive;GOSBY ACHAGULIWA KUPERFOM COST 2 COST MAREKANI:

 Via Times Fm;
Rapper Gosby toka B Hits ambae wimbo wake ‘BMS’ umechaguliwa kuingia kwenye mixtape maarufu duniani ya Coast 2 Coast afunguka exclusively kupitia tovuti ya Timesfm kuwa tayari amechaguliwa rasmi kuperform kwenye concert ya Coast 2 Coast San Antonio Edition, lakini hataweza kuhudhuria.
“Jamaa wamenitumia Email juzi usiku kwamba nimechaguliwa kuperform pale San Antonio, wakanitumia na maelezo mengine, jinsi ya kufika, tarehe ya kufika, sehemu ya kufika na nikifika nimuone nani pale kwa sababu jamaa wako professional sana, lakini bado sijawajibu kwa sababu walisema kama kuna chochote ambacho sijakielewa naweza kuwasiliana, lakini niwe mkweli tu na sitaki kudanganya watu kwa sababu hivi vitu vinaenda mbali ujue,  sitaenda na sifikirii kwenda kwa kweli.” Amesema Gosby.
Rapper huyo ambae jana ameachia wimbo wake mpya ‘Monifere’ aliowashirikisha Vanessa Mdee ameelezea sababu zinazosababisha ashindwe kwenda jijini San Antonio.
“Kwa sababu imekuja wakati ambao sio mzuri sana kwangu kwa sababu kuna vitu ninavyofanya, mfano sasa hivi nimeachia ngoma au sio..natakiwa kuhakikisha naisambaza vizuri na naipromote inawafikia watu wote, nahitaji muda mwingi kwa kweli, nataka kujua nafanya video gani vile. Na ndo maana nimesema imekuja kipindi kibaya kwa sababu sifikirii yani hata ingetokea deal ya shilling ngapi mtu aniambie ooh nakupa deal twende sehemu flani siwezi kufanya kwa sababu najua hiki nachokifanya kinaweza kunipa hela hata zaidi ya hiyo ya huko ambako ningeweza kwenda.” Amefunguka mfalme wa Swaghili flow.
TOA MAONI YAKO HAPA:

Friday 4 October 2013

LINA AMEFUNGUA KAMPUNI YA MAVAZI ''NEYONCE DISGNER''


Akizumgumza na Bongo5 leo akiwa mkoni Tanga kwaajili ya Serengeti Fiesta, Linah amesema kampuni hiyo ambayo imeshaanza kufanya kazi jijini Dar es salaam, tayari imeajiri vijana wawili na ina ofisi ya kudumu pamoja na mashine mbalimbali za shughuli za ushonaji.
“Tumefungua kampuni ya mavazi ambayo nimeshirikiana na binamu yangu ,itakuwa inajihusisha na shughuli za ubunifu wa mavazi mbalimbali, ushonaji pamoja na mambo mengine na lengo letu kuwa na kampuni kubwa ya ushonaji ambayo itakuwa na brand kubwa inayotambulika Tanzania nzima,” alisema Linah.
“Nataka kuacha na dhana ya kutegemea muziki peke yake kwasababu muziki una mwisho wake, inatakiwa wakati tuna uwezo wa kufungua kampuni ambazo zitatuongezea kipato ni vyema kufungua ili kuwa na uhakika wa vyanzo vingi vya mapato pamoja na kutoa ajira kwa wengine.”
BONGO5.COM

Friday 27 September 2013

kipindi cha Wema kuanza kuruka hewani kwenye kituo cha TV cha EATV

Kile kipindi cha Reality Show ya maisha ya mwigizaji Wema wepetu ambacho hapo mwanzo kilipangwa kuanza kuoneshwa na kituo cha TV cha Clouds cha jijini Dar es salaam, sasa kitaanza kuonekana kwenye kituo cha EATV kuanzia mapema mwezi ujao.
Kwa mujibu wa taarifa za mtandao toka kwenye kituo hicho cha TV ambazo hazijaelezea sababu hasa za kipindi hicho kuamia kwenye luninga hiyo zinasema kuwa, fans wa mwanadada hyuo wake tayari kwa ajili ya show hiyo ya kwanza na aina yake bongo.

Wednesday 18 September 2013

(DOWNLOAD AUDIO) RICH MAVOKO - ROHO YANGU


TOA MAONI YAKO HAPA:

EXCLUSIVE CLIP YA VIDEO DIAMOND PLATNUMZ AKIFANYA MAZOEZI YA LIVE BAND:

Katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii nilifanikiwa kuinasa Hii clip  kwenye mtandao mmoja ambao nina imani cliphii ameupload mwenyewe Diamond kwa sababu ni ya ndani sana na hakuana ajuae, iangalie lakin usisahau kutoa comment zako na wewe, japo ipo kidogo sana:
unafikiri ATAWEZA kuitendea haki??? funguka na comment zako baada ya kuingalia: TOA MAONI YAKO HAPA:

Sunday 8 September 2013

TUSKER PROJECT FAME (TPF) YASAKA VIPAJI TANZANIA:

Usahili wa kusaka vipaji vya kuimba kupitia mashindano makubwa kabisa ya Tusker Project Fame 2013, unaendelea na siku ya leo Jijini Dar es Salaam pale Makumbusho ya Taifa kuanzia saa 2 kamili asubuhi.

Hii ni nafasi kwa wale wote ambao wana kipaji cha kuimba kutimiza ndoto zao na kufanikiwa kimuziki, na msisimko mkubwa kutoka usahili wa mwaka huu, Ni ushiriki wa Mzee Ally Zahir Zorro kama moja ya majaji.


Vipaji vitakavyopatikana kupitia usahili huu, vitaingia katika mchuano sambamba na washiriki kutoka nchi nyingine za

Friday 30 August 2013

DIAMOND APIGA BONGE LA SHOW SERENA KABLA YA UZINDUZI WA VIDEO YAKE:

  Baada ya kuzagaa kwa stori za hapa na pale kuhusiana uzinduzi wa Video ya Diamond platnumz, hatima jana kazi ilimaliza pale serena hotel, baada ya kuoneshwa kwa mara ya kwanza kwa watu maalum, walichaguliwa kwa kupewa kadi, lkn pia kabla ya kuoneshwa video hiyo DIAMOND alidondosha bonge la show la hatari pale pkwa stage, check uone ilivyokua:

Wednesday 28 August 2013

(PICHA) WAKATI TUNASHOOT VIDEO YANGU YA BOMOA BOMOA ft BOB JUNIOR:


 Hope mko poa watu wangu tunaopeana support kila kukicha, leo niliahidi kutupia baadhi ya picha ambazo zilipigwa wakati wa #video shooting ya nyimbo yangu ya Bomoa Bomoa, so kama vip jiachie hapa kuzicheki as i promise you, the video gonna be very good ,  stay calm,:
picha zingine zipo hapo chini endelea kuangalia usisahau kuacha comment yako, naahidi kuifanyia kazi: click read more:

USIJIULIZE VIDEO YANGU YA BOMOA BOMOA ft BOB JUNIOR ITATOKA LINI., JUST SOMA HAPA:

Ni siku nyengne tena, namshukur allah kuniweka salama si kwa kua mimi ni hodari zaidi ya wengne wanao umwa hapana, ila ni kwa mapenzi yake na makusudio yake mwenyewe na kwa sababu pia habagui mtu, namuomba pia awape afueni wale wanaoumwana majumbani na mahospitalini:
Kikubwa leo kilichojiri ni kutaka kukujulisheni kua ile #VIDEO yangu ya Bomoa Bomoa ft Bob Junior ipo mwishoni mwishoni kumaliza kwa mujibu wa director wa video iyo G-lover, amenambia ndani ya wiki ya pili ya mwezi ujao itakua ipo hewani, keep waitin kwa ajili ya video kali sana, i saw it kidogo tuu;

Kaa humu humu soon tuu nitakuwekea baadhi ya picha wakati tuna shoot #Video:

#NAWAPENDA SANA fans n friends:
TOA MAONI YAKO HAPA:

Monday 26 August 2013

PICTURE OF THE DAY | PICHA YA SIKU YA LEO NDO HII HAPA @DUBAI

Alhamdulilah namshukur m/mungu aliye tuumba mimi na wewe pamoja na vilivyomo dunia hii, pili mama angu mzazi Pamoja na familia kwa ujumla, tatu na wewe shabiki yangu wa nguvu, ambaye umeanza kunikubali tangu uliposkia tuu nyimbo zanzgu na mpaka sasa, endelea hivyo hivyo kwani bado naihitaji support yako, niko nje ya Nchi kama nilivyo waarifu tangu awali na bado naendelea kupiga kazi hakuna kulala ni kuonesha tuu km na sisi tunaweza music na wakaukubali,show day after day ila nawamis sana watu wangu wa nyumbani Tanzania/Zanzibar, lkn ndo ivyo kazi imenibidi niendelee kubaki huku, endeleeni kuniombea dua,. niwe na afya nzuri ili nifanye kilichonileta huku then nirudi nyumbani salama:
Nikirudi I promise you Guyz Nitadondosha bonge la show la "WELCOME HOME BABY JAY":
#TUOMBEANE SALAMA TU 
mwaaaaah all
TOA MAONI YAKO HAPA:

(AUDIO)SHORTGUN ft RICO SINGLE & ALOYNEM - NAUMIA ROHO:


TOA MAONI YAKO HAPA:

Wednesday 14 August 2013

KUMBE NINAYO SAUTI YA RIDDIM & SOUL,(SWEET REGGE) CHECK VIDEO HAPA THEN UNIPE COMMENT ZAKO:

Ni ngoma ambayo nilishirikiswa na Lil ghetto, inaitwa "Mimi na Wewe" kama hujawahi kuisikia ni sweete regge flani hivi, awali nilihisi kama sitoiweza vile lakini baadhi ya watu wa karibu wamenambia i did it vile inavyotakiwa, ila wao nawaachia nataka leo wewe shabiki yangu wa nguvu uiskilize na kuiangalia then uache comment zako hapo chini, kutokana na sauti yangu ndani ya ngoma iyo naahidi kuzifanyia kazi bila wasi wasi wowote ule comment zenu:
CHECK VIDEO HAPA

TOA MAONI YAKO HAPA:

( VIDEO ILIYOKUA INASUBIRIWA KWA HAMU SANA) HAMMER Q & SALHA (MR&MRS) - "WAPENDANAO" HII HAPA:



TOA MAONI YAKO HAPA:

Saturday 10 August 2013

PICHA 5: SULTAN KING ASHEREHEKEA SKUKUU YA EID NA FAMILIA YAKE WAKIWA MJINI LONDON

SULTAN KING ,MKEWE NA MTOTO WAO;
 Katika kile kinacho itwa kufurahia skukuu ya Eid, Msanii wa bongofleva zanzibar SULTAN KING, ameamua kushare picha zake akila bata za skukuu huko london na familia yake. Jamaaa yuko sawa kwa sasa, na hivi karibuni licha ya kua LONDON ameachia  ngoma yake mpya ambayo imeanza kufanya vizur, as soon as possible itapatikana hapa hapa: Take a look at these picha hapa chini:

Saturday 27 July 2013

HII NYIMBO MPYA YA BERRY BLACK IMEONESHA KWELI JAMAA NI MFALME HEBU ISIKILIZE HAPA:

Kati nyimbo alizotoa mfalme Berry black mwaka huu, BASI hii ya sasa imezidi kudhihirisha kama Berry ni  Mfalme wa hii kitu, mi si mchoyo hebu download na wewe uisikilize hii Joint mpya ya BERRY BLACK ft ALI KIBA - ISHARA ZANGU:
TOA MAONI YAKO HAPA:

Friday 26 July 2013

MIMI SI MWANA HIP HOP LKN HUYU JAMAA NIMEMUELEWA SANA HEBU MSIKIZE HAPA:



TOA MAONI YAKO HAPA:

HATA MIMI NAUSUBIRI KWA HAMU UJIO MWENGNE WA DADA HUYU:

Mwanadada RAY C almaarufu Malkia wa Kiuno bila mfupa, yupo njiani kurudi kwenye gemu, hiyo imethibitika baada ya mwenyewe kuweka wazi hilo kupitia Mitandao ya kijamii, Baada ya kua kimnya kwa muda mrefu kutokana na matatizo aliyokua nayo sasa ametahabarisha rasmi ataingia kwenye gemu la music tena mwezi wa.........

Thursday 25 July 2013

CHECK PICHA ZA SULTAN KING ALIPOKUA AKIWASILI NDANI YA "SPORA SHOW" LONDON:

 Masanii wa Zanzibar Tanzania Sultan King yupo nje ya nchi kwa ajili ya SHOW mbali mbali alizo alikwa huko lkn pia alipata nafasi ya kufamnya interview na SPORAH NJAU, Kwenye kipindi cha SPORAH SHOW Sehemu ambayo wasanii wengi wa AFRICA wana ndoto za kufika na kufanya interview hapo mdada Spora Njau:Video ya Interview hiyo ambayo pia alikuepo Mr blue na NAJ itapatikana hapa hapa BABYJ BLOG endelea kuitembelea kila siku mtu blog hii wangu:

Zifuatazo ni baadhi picha za SULTAN KING alipokua akiwasili ndani ya mjengo wa SPORAH kwa ajili ya INTERVIEW: >>>>

Thursday 18 July 2013

PICTURE OF THE DAY | PICHA YA SIKU YA LEO NDO HII HAPA

Alhamdulilah sifa zote njema anastahiki mola muumba wa kila kitu duniani,
pia namshkuru m/mungu kwa mimi pamoja na familia yng kuwa wazima mpaka sasa, kwani sisi sio kwamba ni wabora sana bali tuu ni mapendekezo yake yeye, lkn pia nawaombea wale wate amabao kwa sasa wapo vitandani, mahospitalini na wote wanaouguliwa m/mungu  atawapa afueni na mioyo ya subira:
NAKUPENDENI SANA FANS WANGU: mwaaah and RAMADHAN KAREEM to all

YOUR COMMENT HERE:

Thursday 11 July 2013

HICHI NDICHO NINACHOTARAJIA KUKIFANYA BAADA YA KUIACHIA BOMOA BOMOA:

Kabla ya yote napenda kumshkuru m/mungu kwa kutueke hai mpaka sasa hivi mimi, wewe, pamoja na wengne,
Then  leo ningependa nikujulisheni ninachotaka kufanya hivi karibuni, m/mungu akitujaalia nategemea kufanya VIDEO ya nyimbo yangu BOMOA BOMOA na BOB JUNIOR soon or later itakua hewani lkn pia nitakujuzeni ni kampuni gani ndio watafanya VIDEO hiyo na pia natumai Jumamosi nitafanya utambulisho wa nyimbo yngu ya bomoa bomoa ndani CLOUDS FM with ma boy MCHOMVU  so usikose kuskiliza RADIO siku iyo coz kuna mengi sana nitafunguka kwenye interview, unayo yajua na usiyo yajua:
Asanteni sana mashabiki wangu jua nyinyi  ndo uhai wa mziki wangu: 
Endeleeni kutembelea blog hii hii kujua mengi yatakayo happen juu yangu:
YOUR COMMENT HERE:

Monday 8 July 2013

PICTURE OF THE DAY | PICHA YA SIKU YA LEO NDO HII HAPA

YOUR COMMENT HERE:

NYIMBO HII NILIIMBA KWA HISIA SANA - MOYO WANGU UMECHOKA ft PASHA

YOUR COMMENT HERE:

SHARE THIS POST

SALAAM ZANGU KWA MASHABIKI WANGU WOTE NI HIZI:


Kwanza ashukuriwe M/mungu muumba  bila yeye pasingekuwepo mimi wala wewe,
Pili, tuwaombee wale wote ambao wapo mahospital kwa magonjwa mbali mbali M/mungu awape afueni na afya njema,
Tatu, kikubwa nilichota kukwambie jamani wapenzi wangu 
NAKUPENDENI SANA, na NAJISKIA FARAJA SANA KUWEPO WATU WANAONIKUMBALI NA WANAONIPA SUPPORT KWA KILE NINACHOKIFANYA KWENYE KAZI ZANGU ZA MUSIC NAWAOMBA MSINIACHE MKONO:
NAKUPENDENI SANA NA MOLA AWALINDE KWA KILA KITU JAMANI:
aamin...
YOUR COMMENT HERE:

BABY J ft BANANA ZORO - MPENZI WANGU


YOUR COMMENT HERE:

DOWNLOAD - BABY J ft BOB JUNIOR - BOMOA BOMOA


YOUR COMMENT HERE:

BABY J ft ALI KIBA - BWASHEE

br /> YOUR COMMENT HERE:

Saturday 6 July 2013

(PICHA)BAADA YA KUMALIZA KUPIGA SHOW YA ZIFF NIKASHUKA NA KUPIGA PICHA NA FANS:


ALHAMDULILAH nina mshukuru allah kwa kuniwezesha kumaliza SHOW ya ZIFF salama,nikiwa mzima wa afya, yeye ni kila kitu anastahili kushukuriwa kwa kila kitu na popote,Nikiwa ndani ya baibui kama Bi kidude sababu niliimba na nyimbo zake live pia, Zifuatazo ni picha baada ya kumaliza show nikiwa na Baadhi ya fans WANGU, nawapenda fans wangu sana zaidi sana na ndo maana popote tutapiga picha, tutakaa tutaongea na kubadilishana mawazo CHECK picha VIDEO soon NITAWEKA msijali:

(PICHA) BAADA YA KUWASILI NGOME KONGWE USIKU WA ZANZIBAR INTERNATIONAL FILM FESTIVAL:

Baada ya pirika p[irika za mchana kutwa ma interview mbali mbal;i kwa ajili ya show ya ZIFF hatimae time ikafika, nikajikoki kuelekea ngome kongwe taratibu huku ndani ya gari nikiwa na STAFFS wangu, ili tufike salama mwendo haukua wa kasi: sifuatazo ni picha baada ya mimi kuwasili ngome kongwe:

Nje ya ngome kongwe nilikutana na LINAH, na tukapiga picha za ukumbusho wa show:

NILIPOWASILI KATIKA HOTEL YA SAYYIDA ZNZ KWA AJILI YA MKUTANO NA WAANDISHI:

Namshkur allaah mpaka sasa nahema kwa uwezo wake lkn pia niwaombee na wenzangu ambao hawapo wazima allah awape afueni, Juzi kabla kwenda kufanya show ile ya usiku, nilikwenda katika hotel moja hapa mjini zanzibar kwa ajili ya mkutano na waandishi wa habari sikua peke yangu na LINAH pia alikuepo, na zifuatazo ni picha zangu na lina check:

Thursday 4 July 2013

SNURA AFANYA MAJANGA TANGA NA MAPACHA WANNE KWENYE KILI TOUR

 
Msanii wa kike anaetamba na wimbo wa majanga EAST AFRICA amewashangaza sana wakazi wa tanga pale alipoingia kwnenye stage na wacheza show wanne ambao wote ni mapacha wanaofanana kila kitu.Maswali yalikuwa mengi sana kwa snura kwanini aliamua kuwa na mapacha watupu kwenye sehemu ya wacheza show wake? alipoulizwa alijibu
SHARE THIS POST VIA