Pages

Thursday 21 November 2013

PICHA INTERVIEW HITS FM RADIO KWA AJILI YAKO ZICHEKI HAPA;

Baada ya kupata Interview mbali mbali za simu, juzi kati, nilipata mualiko tena kwenye radio nyengine Hits Fm kutoka kwa Mtangazaji wa kipindi cha Bongo Zone 2Point, Hizi picha nilikua kwenye Interview Katika Radio ya '#Hits_fM zAnzibar, And here are some of my picture take a look, nawapenda sana:
Endelea kuziangalia hapa chini picha zingine nyingi tuu Mtu wangu wa nguvu:





TOA MAONI YAKO HAPA:

0 comments:

Post a Comment