Pages

Saturday 9 November 2013

PICHA WAKATI NIPO BOMBA FM RADIO LEO ZICHEKI HAPA;


GURU G LOVER & ME
 Baada ya kutoka Ziara ndefu ya kimuziki nchi za Uarabu, nimerudi nyumbani Zanzibar salama nashkur, pia naskur kwa wale wote ambao mlikua mkiniombea usiku na mchana nirudi salama, leo nilikua kwenye Interview Katika Radio ya bOMBA fM zAnzibar, And here are some of my picture take a look, nawapenda sana:
Endelea kuziangalia hapa chini picha kibao Mtu wangu wa nguvu:


ME & MB Presenter Bomba Fm





TOA MAONI YAKO HAPA:

0 comments:

Post a Comment